Ngano za Mazimwi

Hizi ni ngano ambazo baadhi ya wahusika wake ni majitu makubwa yenye uwezo ukiamaumbile (uliozidi wa kawaida). Mazimwi ni viumbe waliobuniwa na binadamu ambao wanaweza changanya sifa zi binadamu, za mnyama na za shetani. Aghalabu mazimwi hufanya maovu kama vile kula watu.

Sifa za Mazimwi

Umuhimu wa Ngano za Mazimwi