Tahariri

Tahariri ni makala ya mhariri (mkuu) wa jarida/gazeti fulani. Mhariri mkuu hutoa maoni yake kuhusu mojawapo ya maswala ibuka. Sehemu kuu za tahariri ni:

  1. Jina la Gazeti/jarida
  2. Tarehe/nambari ya toleo hilo
  3. Mada ya Tahariri
  4. Ujumbe
  5. Jina la mwaandishi