Sentensi za Kiswahili

Sentensi ni kundi la neno moja au maneno zaidi yenye kiima na kiarifa na inayofuata kanuni za sarufi.

Aina za Sentensi

1. Sentensi Sahili

Hizi ni sentensi zenye kishazi kimoja na huwakilisha wazo moja tu.

a) Sentensi sahili kutokana na kikundi tenzi pekee:

b) Kikundi Nomino + Kikundi Tenzi

2. Sentensi Ambatano.

Sentensi ambatano ni sentensi zenye zaidi ya kishazi huru kimoja na huwakilisha mawazo mawili au zaidi. Aghalabu sentensi hizi hutumia viunganishi(U) au alama za uakifishaji kama vile kituo(,) na nukta-nusu (;) ili kubainisha wazo moja toka nyingine.

a) Kuunganisha Sentensi Mbili:

Mifano mingine:

3. Sentensi Changamano

Hizi ni sentensi zinazoundwa kwa kuunganisha kishazi huru pamoja na kishazi tegemezi au sentensi mbili kwa kutumia o-rejeshi ili kuleta zaidi ya wazo moja.

Mifano Zaidi:

Tanbihi: Ili kutofautisha sentensi ambatano na changamano kwa urahisi, sentensi changamano hutumia o-rejeshi (k.m ambacho, ambaye, niliye- , nililo- n.k)