Lakabu

Lakabu ni majina yanayobandikwa watu kutokana na sifa zao, maumbile, hulka au mambo yanayowahusu.

Kama vile semi, lakabu ni tungo fupi ambazo zinaweza kutumika kama Mbinu za Lugha na Sanaa

Tofauti kuu kati ya lakabu na majazi ni kwamba majazi ni jina halisi la mtu ilhali lakabu ni jina la kupachikwa.

Mifano ya Lakabu