Upeo

Upeo wa Juu (climax)

Ni sehemu ya hadithi ambayo matukio yanafanyika kulingana na mapenzi ya hadhira au msomaji.

a id='upeo_wa_chini'

Upeo wa Chini (anti-climax)

Ni sehemu ya hadithi ambayo matukio yanafanyika kinyume na mapenzi ya hadhira au msomaji. Aghalabu upeo wa chini hutokea baada ya upeo wa juu.