Sajili ya Mtaani

Lugha ya mitaani ni lugha inayozungumzwa na vijana mtaani.

Sifa za Lugha ya Mtaani

Mfano wa Sajili ya Mtaani

Chali: Hey, niaje msupaa?
Katosha: Poa. So, mathee yako alikushow naweza kuja?
Chali: Ha! Masa hana noma. Si unajua nita...
Katosha: Chali! Unataka aniletee problem?
Chali: Mimi ni boy wa maplans. Ngoja nifikirie venye tutamshow
Katosha: Na by the way, kwani umejipaka mafuta ya manzi. Ama ulikuwa na msichana mgani?
Chali: Oh! Niliscoop mafuta ya Anita. Si unajua nataka kunukia hmmmm...
Katosha: Ok. So, umefikiria tumshow nini masa yako? Ama nikona idea poa.
Chali: Nishow hiyo plot, na by the way, nataka unisaidie kuhusu ile deal yangu na Kaunda. Ile ya siz yangu.
Katosha: Kwanza tutaplan na huyo siz yako, niwe ndiye nimekuja kuvisit. Mamako atakubali
Chali: Wow! Idea poa. Utakuwa umekuja kufanya homework. Halafu masa akiishia kwa bed. Homework tutaitupa mbali.
Katosha: So, utamshow Anita nakuja tufanye homework...