Sajili ya Simu

Hii ni lugha inayotumiwa katika mazungumzo ya simu.

Sifa za lugha ya simu

Mfano wa Sajili ya Simu

Sera: Hello. Ningependa kuongea na Mika.
Sauti: Subiri kidogo nimpatie simu.
Sera: Hello
Mika: Hello. Sema Sera. Niko kwa mkutano…
Sera: Pole kwa kukusumbua. Unakumbuka safari yetu ya kesho?
Mika: Siwezi kusahau. Tunakutana saa ngapi?
Sera: nampendekeza saa tano machana…
Mika: Katika Hoteli ya Katata Maa
Sera: enhe. Hapo kwa heri
Mika: Haya. Bye!