Utohozi
Kutohoa ni mbinu ya kuswahilisha maneno ya lugha nyingine, yatamkike kama ya Kiswahili.
- Hata kama hautanikuta katika ofisi, hakikisha umempa '_' sekritari '_' stakabadhi zote aziweke kwenye '_' kompyuta '_' .
- '_' Skuli '_' zikifungwa ningetaka wewe na '_' bratha '_' yako mje kunisalimia.