Istiara

Ni mbinu ya kulinganisha vitu viwili moja kwa moja kwa kutumia kiungo 'ni' ama 'kuwa'. Pia huitwa sitiari, stiari

Tofauti kuu kati ya Istiara na jazanda ni kwamba isitiara hulinganisha kwa kutumia kiungo "ni" au "kuwa" ilhali jazanda haitumii kiungo chochote.

Kwa mfano:

Mifano ya Istiara